Total Pageviews

Wednesday, July 8, 2015

AMA KWELI MVUNJA NCHI NI MWANANCHI

Mwananchi akisafirisha mzigo wa mbao kwa kuvuta na Pikipiki.
Mara nyingi nimewaona wengine wakivuta nondo.
Mwananchi huyo huyo ndiye wa kwanza kulaumu mamlaka kwa uwepo wa barabara mbovu.
Kinyerezi kwetu, Sabasaba day

No comments:

Post a Comment