Total Pageviews

Friday, October 24, 2014

MUSOMI MASOTA: Kwaheri CK

Mzee Musomi Masota,
rafiki mkubwa wa Mzee CK, na hata wakati akiugua Dar Es Salaam ilikuwa haipiti wiki bila kumjulia hali.
Lakini Mzee Musomi hakuja kumzika rafiki yake, alikuja siku chache baadae..............
nikijiuliza kulikoni, lakini kumbe alikuwa sahihi kwani kama angekuwepo siku ya mazishi huenda  tusingekuwa nae pia.
Siku aliyokuja kutupa pole, baada ya kuona Kaburi la rafiki yake Mzee CK, uthibitisho kuwa rafikie hayupo tena, Mzee Musomi alizimia ikatulazimu sisi tena kumpa huduma ya kwanza.
Pole sana Mzee Musomi, kwani maisha ni lazima yaendelee............

No comments:

Post a Comment