Total Pageviews

Wednesday, October 22, 2014

KAMONGO

Kamongo,
baada ya kuadimika muda mrefu sasa wanapatikana tena, shukurani wadau wa uhifadhi wa mazalia ya samaki ziwani.
Kuna simulizi kuwa wanawake walikatazwa kumla kutokana na utamu wake uliotukuka.
Na sasa anazua changamoto miongoni mwa waumini kuwa ni halali au si halali kuliwa,
Sababu kuu ikiwa ni kwamba hana mapezi,
Najiuliza, ni kweli Kamongo hana mapezi!

No comments:

Post a Comment