Total Pageviews

Tuesday, November 12, 2013

AMA KWELI POMBE SIO CHAI

 Muugwana akaingia kijiweni na kufikia kwenye siti
Kwa raha zake akiuchapa usingizi
baada ya muda, akaona ni wakati muafaka wa kuingia ndani
Hapa ndipo anapaona kama chumba chake
Baada ya kuona mlango haufunguki anatafuta funguo mifukoni
Hazipatikani
Anabakia mwenye mshangao,
Ama kweli pombe siyo chai.

No comments:

Post a Comment