Total Pageviews

Monday, September 23, 2013

MAITI YAOKOTWA CHINI YA LIFT(PICHA ZA KUOGOFYA)

 
 
 
 
 
Maiti ya Mtu asiyetambuliwa bado, imeopolewa juzi Jumamosi chini ya Lift ya jengo la HIFADHI HSE.
Hakuna maelezo ya zidi kwa sasa kujua chanzo cha kifo.
Lakini kilicho dhahiri ni kuwa milango ya lift hii inaweza kufunguka hata kama lift haipo kwenye floor husika.
Picha na mdau Eliud

No comments:

Post a Comment