Total Pageviews

Wednesday, October 24, 2012

MDAU KAONA

Bi Happy
Mdau wetu Silla kaona.
Na juzi jumapili akisindikizwa na wadau, akiwemo Chief Photographer walikwenda kujitambulisha.
Blogger ameachiwa kazi ya kupeleka "Kibanda".
Ni jambo la kheri, na Blog inawatakia kila la Kheri katika makusudio yenu wadau Silla & Happy


No comments:

Post a Comment