Total Pageviews

Friday, October 12, 2012

FOLENI KAMA KAWAIDA

 
 
 
 
 
Ni kawaida sasa barabara zetu mida hii ya kuanzia alasiri.
Hata jamaa zangu wa TZR leo wamekumbana na adha hii, maana hata service road zote zilikuwa zimefunga
Kawawa Rd, Msimbazi Mission masaa machache yaliyopita

No comments:

Post a Comment