Total Pageviews

Thursday, October 11, 2012

BON VOYAGE MWAYAI

 
 
 
 
 
 
Mzee Mwayai yuko safarini akirejea Bunda baada ya ziara ya kusafisha macho jijini kwa takribani wiki mbili.
Ameondoka alfajiri hii na Musoma Express, na Mungu akijalia safari ikaenda salama, basi mida ya saa nne usiku atakuwa mjini Bunda.
Wadau wa Bongo jana walipata wasaa mfupi wa kuwa nae kumuaga na kupata mawili matatu.
Hakika ni faraja sana unapopata nafasi ya kuwa na Wazee hawa ukapata mawili matatu ya busara na hekima kutoka kwao.
BON VOYAGE Mzee MWAYAI

No comments:

Post a Comment