Total Pageviews

Thursday, December 14, 2017

MUNGU NDIYE AJUAE!

Kwa muda mrefu sasa yapata mwezi sasa nikipanga kuipeleka Gari service, hasa kwa hisia za kuwa na kasoro kwenye Usukani.
Jana nilisisitiza kwa Mafundi waichukue, na walifanya hivyo asubuhi.
Huko walikoenda,
Gari imechomoka tairi mitaa ya Goba, Pichani. Hakuna majeruhi.
Hakika Mungu Pekee Ajuae.

No comments:

Post a Comment