Total Pageviews

Monday, October 16, 2017

PAAVO NURMI - SHUJAA WA OLIMPIKI UFIN


Paavo Nurmi,
13 Juni 1897 - 02 Oktoba 1973
Mwanariadha nguli wa Kifini kupata kutokea, akishiriki mbio za masafa marefu na za nyika. Akijikusanyia Medali 12, zikiwemo Tisa za Dhahabu, na Tatu za Fedha.
Mashindano yake ya mwisho yakiwa yale ya Olimpiki ya Amsterdam ya mwaka 1928.
Sanamu yake inashuhudiwa leo pembezoni mwa uwanja wa Olimpiki wa Helsinki.
The Helsinki Olympic Stadium   
Ulijengwa mnamo mwaka 1952, na kuwa mwenyeji wa mashindano ya Olimpiki.
Mnara wake ukiwa na urefu wa Meta 72.71


No comments:

Post a Comment