Total Pageviews

Friday, October 27, 2017

MVUA ZA KWANZA......


Falsafa ya dhati ya Baba wa Taifa, akituhimiza Kilimo kama Uti wa Mgongo.
Naam, mvua za vuli zimeanza Nakatuba,
Ni mwanzo wa msimu wa Kilimo kwa kuwa Mvua za kwanza ni za kupandia.
Nakatuba kwetu.

No comments:

Post a Comment