Total Pageviews

Tuesday, August 2, 2016

WADAU WATEMBELEA ENEO LA TUKIO LA AJALI

Wadau wa blog yetu leo walipata fursa ya kutembelea Shule ya msingi Migungani. Pahala hapa kwenye mti huu ndipo alipopatia ajali ya kudondoka kutoka juu, Bw. Maingu Baruku majira ya saa Tisa alasiri, Alhamisi tarehe 28 Julai 2016.
Akiwa huko juu kileleni akichuma maua kwa ajili ya kufyonza juisi iliyomo, tawi alilokuwa amelikalia lilikatika na mwenyewe kuanguka hadi chini.
Inakisiwa ni wastani wa kina cha Mita saba.

No comments:

Post a Comment