Total Pageviews

Wednesday, November 4, 2015

NDIO ZETU

Baada ya wiki moja ya barabara kuwa tupu wakati wa kusubiria matokeo ya uchaguzi mkuu, mambo ya foleni yameanza kama kawaida yake wiki hii.
Njiapanda ya Segerea leo asubuhi. 

No comments:

Post a Comment