Total Pageviews

Wednesday, June 11, 2014

TANZIA - NYAMTOLELA HATUNAYE

Late Nyamtolela.
Bibi, Mama yetu Nyamtolela amefariki usiku wa kuamkia leo, Kisesa Mwanza nyumbani kwa mwanae Bw. Richard Mgabo.
Mipango ya mazishi inaendelea Kisesa, Mwanza.
Bwana alitoa, Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.
AMEN

No comments:

Post a Comment