Total Pageviews

Saturday, December 21, 2013

TANZIA

HATARI NYAKUJERWA

Ndugu yetu, Kaka yetu, Baba yetu Hatari Nyakujerwa hatunae tena.
Amefariki dunia usiku wa kuamukia leo.
Jana majira ya jioni aligongwa na pikipiki, na kukimbizwa hospitali ya Temeke.
Lakini amefariki usiku wakati akipewa matibabu.

No comments:

Post a Comment