Total Pageviews

Monday, December 30, 2013

KUELEKEA MACHI 09, 2014










Vikao vya maandalizi kwa ajili ya Sherehe ya Harusi ya Bw. Joel Joshua Kaitira vimeanza.
Jana, Babylon Resort Kinyerezi kilikuwa ni kikao cha pili.
Kikao kitakachofuata kitakuwa tarehe 26 Januari 2014.
Shime wadau tushiriki.

No comments:

Post a Comment