Total Pageviews

Monday, October 21, 2013

KARIBU MDAU PAULO

Mdau Paulo, a.k.a. Mangati ametua Dar
Na jana alikuwepo kwetu Kinyerezi.
Mdau yupo kwenye mission ndefu ya ku "trace" ndugu wa upande wa Baba ambao hajaonana nao kwa miaka zaidi ya 18.
Safari hii itamfikisha mpaka Mtwara.

No comments:

Post a Comment