Total Pageviews

Friday, July 27, 2012

MWANAMME HUSIFIWA KWA KAZI

Ama kwa hakika mwanamme unapaswa kusifiwa kwa kuchapa kazi, ili kuitunza vema familia na wategemezi wengine.
Pichani, Mwanamme akiwa kazini jana mitaa ya Msimbazi, Kawawa Road.
Kwa uchache mzigo unakadiriwa siyo chini ya Kgs 500 (Nusu Tani)

No comments:

Post a Comment