Total Pageviews

Monday, July 30, 2012

BREKINGI NUWZ - SERIKALI HAITUJALI

Wanafunzi wa shule ya msingi wamepita hapa wakiandamana muda si mrefu kuelekea kwa Mkuu wa kaya ya Bongo, Mh Meki Sadick.
Wanasema Serikali haiwajali.
Haiwajali nini, hatujajua...............
Lakini inaelekea ni salamu kutokana na mgomo wa Walimu uliotangazwa inji nzima kuanzia leo.
Sisi macho na masikio kwenye source nyingine za habari.
Tungoje na tusikie.

No comments:

Post a Comment