Total Pageviews

Monday, March 26, 2012

st CAMILIUS YOMBO

Yombo Vituka jana,

Sanamu ya Mt Kamili, Kanisa la Katoliki Yombo

Nilifika hapa kwa mara ya kwanza miaka mingi iliyopita kwa sherehe ya kufunga ndoa Bw na Bi Machele.

Nilirudi tena hapa jana kwa kikao cha usuluhishi wa Bw na Bi Machele. Bahati mbaya kikao kiliahirishwa.

No comments:

Post a Comment