Total Pageviews

Monday, March 19, 2012

BONGO DARISALAMA

NBC Hq Posta ya zamani
Mnara wa kumbukumbu garden ya posta ya zamani, sikumbuki ni kumbukumbu ya nani

Kuna bustani nzuri inayopendeza siku hizi

Jengo hili zamani likiwa ndiyo HQ ya wizara ya maji, baadae ofisi ya makamu wa rais lakini kwa sasa sijui lolote

Karimjee Jivanjee

Posta ya zamani

Benki ya Wanawake, ndani ya majengo ya Posta ya zamani

TRA offices, adjacent to Extelecoms House

Samora, City Centre magofu yangaliko

Vikwangua anga vipya vikichukua nafasi pemebeni ya magofu

This building houses Alcove Restaurant - Indian and Chinese cuisine.

In existence back yrs in 1991 when i was with Tanna Somaiya at Extelecom Bldg

No comments:

Post a Comment