Total Pageviews

Friday, September 2, 2011

MGENI TOKA BUNDA Mr SUPER

Idd Pili, nikawa na bahati ya kupata mgeni mwingine toka Bunda,
Si mwingine ni Engineer Super Mathias Chisute Mteki.
Sasa mjasiriamali na mfanyabiashara katika bidhaa za umeme kule Bunda
Akapata nafasi ya ku " pay respect" kwenye Kaburi la Kamanda Josia Mwayai Msalya


Mgeni njoo, mwenyeji apone.................

Kutoka huko, mtoto wa Mama akanikumbuka kwamba nililia sana peke yangu wakati huo

akapata nafasi ya kunipoza angalau moja moto........ na moja baridi....

No comments:

Post a Comment