Total Pageviews

Saturday, September 3, 2011

KAZI NI KAZI

Nimevutiwa sana na picha ya Mjasiriamali huyu anavyochapa kazi. Picha imetoka blog nyingine.
Imenikumbusha Nakatuba.
Laiti ningeiona kabla ya kuanza usombaji wa matofari ya Mzee CK.
Hakika ingerahisisha sana.

No comments:

Post a Comment