Total Pageviews

Wednesday, March 23, 2011

After 6 Yrs in Kagoshima, The Mdau George is Back

Mdau George na Familia yake amekuwa yuko nje ya nji kwa takribani miaka sita.
Na jana ilikuwa siku yake ya kurejea.
Wadau wa Dar walikuweko Eapoti kuanzia saa kumi na mbili asubuhi, ingawa ratiba kamili ilikuwa haijapatikana.
Baada ya kusubiria masaa, Kamera ya mdau ilinusa ndani ya arriving lounge na kunasa taswira hii ya wadau wakielekea geti la kutokea
Wadau wakakaa tayari........
Ikawa kunyanganyana kila mtu na wake.............
Aliyepata mtoto, haya...........
Aliyepata Mama, au mizigo haya..............................
Baada ya stori za hapa na pale, msafara ukaongoza chini ya ulinzi mkali ukifuatiliwa na kinokia kama kawaida
Hatimae msafara ukawasili Kipunguni, ambapo familia hii itapumzika japo kwa siku mbili tatu
Baada ya sara, stori zikaendelea................
huku kukiwa na lugha gongana, iliyoongozwa na Madame Pricilla

No comments:

Post a Comment