Total Pageviews

Tuesday, January 4, 2011

MAMBO YA USAFIRI WA DAR

Foleni kwenye usafiri wa Dar zimekuwa ni kero, kero.......................
Wadau kwa kuliona hilo, na changamoto ya Bodaboda ya Chief Photographer,
nao kwa taratibu wanajiandaa kubadilisha aina ya usafiri.
Lakini kwa usalama kwanza, wakaona ni bora kununua kabisa Helmet kabla ya kupata Bodaboda.
Hapa Helmet ikijaribiwa kama inafaa...............
Nami nawatakia kila la kheri kwenye maandalizi yao

No comments:

Post a Comment