Total Pageviews

Tuesday, January 18, 2011

SAFARI YETU KARUKEKERE KWA NYAMWEYA - PART ONE

Wadau wawakilishi wa Wadau wa Dar waliamua vekesheni iende kwa kuunga unga,
Mdau Chief Photographer wa Blog aliongoza msafara................. kazi nzito lazima kutafakari
Mdau akiwazia, huko niendako..........................
Kukoje??????

Na wengine waliivutia pumzi vekesheni yenyewe
"Defostration" kila sehemu............
Naikumbuka na kuililia Nakatuba kwa jinsi ilivyochakachuliwa siku hizi.
Bila ya shaka ilianza hivi hivi
Wadau waliweka dhamana yao kwa mkongwe wa njia ya Dodoma - Shabiby Line
Breki ya kwanza ikawa Dom
Wadau wakajichanganya
Kulipokucha safari kama kawaida ikaendelea
Bunda Bus, mtoto wa nyumbani zamu hii akapewa dhamana
Bibi Penina alikuwepo kuwapokea walipofika PIDA
Furaha ilioje kukutana na wadau wengine huko
Na kushiriki pamoja katika Sabato ya Bwana

2 comments:

  1. Ama kweli ilikuwa furaha!
    Natamani ningekuwepo. Ila naamini Mungu atatubariki sote kwa pamoja!

    ReplyDelete
  2. A memorable trip in deed.

    ReplyDelete