Total Pageviews

Monday, January 8, 2018

MJI KASORO BAHARI

Nimetembelea tena Morogoro baada ya muda mrefu kupita,
Morogoro imebadilika sana,
Hakuna maji ya kutiririka vilimani tena,
Uoto umeondoka milimani,
Hakuna Mziki tena,
Lakini Morogoro inakua,
Majengo Makubwa na Mazuri yanamea,
Mji Unatanuka.
Na Stendi nzuri na ya kuvutia, Stendi ya Msamvu.

No comments:

Post a Comment