Total Pageviews

Monday, September 4, 2017

MINOO GRADUATION DAY

Mzazi nilialikwa
Meza kuu
Wazazi wakifuatilia
Mwenyekiti wa Shule, Mr Kiwango
Miaka ya 2005 nilihudumu pia kama mjumbe wa kamati ya Shule chini ya Mr Kiwango
Ester, Mwanafunzi alietia fora katika ushereheshaji
Mr Kajiru, Mwalimu Mkuu
Burton Mwambene, Mkuu wa Shule ya Sekondari Muhanga,
Na Mr Bankole
Mkuu wa Royal Academy

Mgeni Rasmi aliyemwakilisha Mbunge wa Jimbo la Segerea Bonah Karua
Gamba mkononi
Pongezi toka kwa familia
 Ulinzi wa kutosha
 Msosi tyme
 Foleni ya msosi
Keki kwa mhitimu

No comments:

Post a Comment