Total Pageviews

Wednesday, June 7, 2017

UMEWAKAA!!

Mwanasheria House
Honda's room

06 June 2017
Imekuwa siku ya kumbukumbu njema,
Siku hii pamoja na kuwa kumbukumbu ya kuzaliwa Mdau Dr George,
Kwa mara nyingine jana imejiwekea historia ya kuwa siku ambayo Umeme uliwashwa rasmi katika Boma la Mzee CK, Kijijini Nakatuba.
Hatimae ndoto za Prof Muhongo za umeme vijijini kupitia mpango wa REA zimezaa matunda.

No comments:

Post a Comment