Total Pageviews

Wednesday, March 29, 2017

UBATIZO

Penina George Msalya
Morogoro, 

Yesu alisema, “Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu” Yohana 3: 5. Tena aliwaagiza wanafunzi wake akisema: “… Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. Aaminiye na KUBATIZWA ataokoka, asiyeamini atahukumiwa” Marko 16:15-16.

No comments:

Post a Comment