Total Pageviews

Friday, January 27, 2017

KISA CHA MSAMARIA




Bwana Yesu asifiwe…
“Mpende jirani yako kama nafsi yako” ni amri ya pili iliyo kuu. Imeandikwa;“ Na ya pili ndiyo hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako. Hakuna amri nyingine iliyo kuu kuliko hizi.“Marko 12:31(Ya kwanza ni mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote. Marko 12:30) Amri hii ilitolewa na BWANA mwenyewe tangu kipindi cha Musa,( Walawi 19:18). BWANA MUNGU aliwataka watu wake wasifanye kisasi,wala kuwa na kinyongo bali waishi maisha ya kupendana.

No comments:

Post a Comment