Total Pageviews

Tuesday, December 27, 2016

RAFIKI

Milly na rafikize, Nakatuba.

KATIKA usiku wake wa mwisho duniani, Yesu aliwatia moyo wanafunzi wake washikamanifu waendelee kuwa marafiki. Mapema jioni hiyo, alisema kwamba upendo ambao wangeonyeshana ungewatambulisha kuwa wafuasi wake. (Yoh. 13:35) Mitume walihitaji kuendelea kuwa marafiki wa karibu ikiwa wangevumilia majaribu ambayo yalikuwa mbele yao na kutimiza kazi ambayo Yesu angewakabidhi baada ya muda mfupi. Kwa kweli, Wakristo wa karne ya kwanza walijulikana kwa sababu ya ujitoaji wao wa moyo wote kwa Mungu na kwa waamini wenzao.

No comments:

Post a Comment