Total Pageviews

Saturday, May 21, 2016

KWA NINI WALITOBOA?

Miaka 20 tokea ilipozama Meli ya MV Bukoba.
Lakini hadi leo bado najiuliza kuhusu wataalamu wetu kwa nini walitoboa eti wapate nafasi ya kuingia na kuokoa watu?
Kwa elimu ndogo ya ueleaji ninayoijua, hewa iliyokuwemo ndiyo ilikuwa ikisaidia meli isizame kabisa, na ingeweza kuvutwa kwa kutumia nguvu ndogo.
Ni mawazo yangu tu............
Wapumzike kwa amani wahanga wote wa MV Bukoba.

No comments:

Post a Comment