Total Pageviews

Wednesday, April 6, 2016

TANZIA

   
Mama yetu
Mrs Nyamunda Perus Samson hatunaye.
Amefariki usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Nakatuba baada ya kuugua muda mrefu.
Bwana alitoa
Bwana ametwaa
Jina lake lihimidiwe.  

No comments:

Post a Comment