Total Pageviews

Wednesday, March 9, 2016

AJALI DAR

Mapema alfajiri leo kumetokea ajali mbaya Barabara ya Mandela, maeneo kati ya Matumbi na Buguruni. Daladala aina ya DCM lifanyalo safari zake Gongo la Mboto na Ubungo limegongana na Lori lililobeba ng'ombe.
Kuna vifo na majeruhi kadhaa.
SOURCE:
Mitandao mbalimbali ya kijamii

No comments:

Post a Comment