Total Pageviews

Wednesday, December 30, 2015

BIASHARA NA CHINGA

Kununua kwa Machinga kuna raha na utaalamu wake.
Anaanza juu, Unaanzia chini.
Mkikutana katikati kila mmoja karidhika, anaondoka kwa furaha.
kwa kulinganisha kila mtu alipoanzia, kila mmoja anawaza.......nimempata leo..........

No comments:

Post a Comment