Total Pageviews

Saturday, June 13, 2015

ALMANUSURA NYINGINE

 Ahsante Mungu,
Tumenusurika na ajali asubuhi hii, Tairi ya nyuma kushoto ilichomoka.
Ukiangalia kwa makini mstari mweupe, ni usawa nyuma kidogo ya Mwendesha pikipiki.
Nimefanikiwa kulithibiti gari na kusimama pembeni. Na bahati nzuri nuts zote zikapatikana tukafunga na kuendelea na safari.
CFAO Motors (DT Dobie), Nyerere Road maarufu kama Karakana
Leo asubuhi

No comments:

Post a Comment