Total Pageviews

Monday, January 27, 2014

40 DAYS TO GO

Kikao cha tatu,
Maandalizi ya sherehe ya harusi ya Joel Joshua Kaitira kimeendelea tena jana.
Siku zinazidi kuyoyoma, ni angalau siku 40 tu zimebakia.
Kikao kijacho kitakuwa 09 February
Babylon Resort jana.

No comments:

Post a Comment