Total Pageviews

Thursday, May 10, 2012

MAANDALIZI SEND OFF YA ROSE NYANDARO JOSEPH MAGWE

Vikao vinaendelea Rongai Bar, uwanja wa maonesho wa sabasaba
Jumamosi 07.05.2012 kilikuwa ni kikao cha nne
Baba Mzazi Joseph, Mwekahazina, Katibu na Mwenyekiti Mr Nyamwesa
Babu Mr Titus
Grace, Mbassa
Michango inaendelea kukusanywa
Send Off inatarajiwa ifanyike tarehe 22 June 2012 ukumbi wa Mgulani JKT

1 comment: