Total Pageviews

Monday, January 9, 2012

MIKOLINA NA BLOGGER WASHEHEREKEA BIRTHDAY ZAO

Jana ilikuwa ni siku ya kikao cha ndugu, "CHENDANE FOUNDATION" kule kwetu Kinyerezi kwa Bw Jackson Kaigi. Na wajumbe wakajimwaya mwaya na Pilau na Soda.

Lakini kumbe jana ilikuwa siku maalum.

Birthday ya

MIKOLINA JACKSON KAIGI

08 JANUARY 2012

Mdau Miko alinaswa mapema asubuhi akihangaikia mahitaji ya shughuli yenyewe Shopping asubuhi ilikuwa ya nguvu
Mdau MIKOLINA
HAPPY BIRTHDAYMIKOLINA JACKSON KAIGI
Mdau pia ana maandalizi wiki hii ya kujiunga na Darasa la TISA, "KIDATO CHA KWANZA" pele Sekondari yetu ya Kinyerezi.
Pamoja na mdau Mikolina.

Jana pia ilikuwa siku ya Chief Blogger ambako ametimiza miaka kadhaa

2 comments:

  1. Happy birthday Mikolina. May God bless you with many years to come. All the best with your studies.

    ReplyDelete
  2. Happy birthday uncle. May God hear your heart's desire and grand your wishes. be blessed.

    ReplyDelete