Total Pageviews

Wednesday, August 17, 2011

USAFIRI BADO ADHA KWA WANAFUNZI DAR

nimeikuta hali ya kutisha ya adha ya usafiri kwa wanafunzi wa Dar pale vingunguti asubuhi hii.


Nikawa tu najiuliza kama hali ni hivo kwa wanaoelekea nje ya mji, yaani uelekeo wa Gongo la Mboto, hali ni vipi kwa wale wanaoelekea mjini????????



Kwa inji hii bado tunayo safari ndefu............

No comments:

Post a Comment