Total Pageviews

Thursday, December 2, 2010

NYAMWEYA DAY 12.12.2010

R IP
REBECCA NYAMWEYA
Barabara zote zinaelekea Karukekere kwa ajili ya Nyamweya Day siku chache zijazo.
Wadau Blog Chief Photographer Mr Ed, Penina wako njiani.
Wadau Mzee wa makamuzi na Neema wanaondoka mji kasoro bahari leo hii.
Mdau Lawyer naamini atakuwa ameshatinga Dar tayari kwa kuunganisha.

Wadau wa Mwanza, Bunda, Geita na kwingineko naamini watakuwa mkao wa kuondoka.....

1 comment:

  1. nimemuonyesha picha hizi super tukiwa mtwara

    ReplyDelete