Total Pageviews

Monday, March 8, 2010

KUMBUKUMBU YA VEKESHENI


Katika kupitia pitia nikakutana na picha ya zamani zile...
Ilikuwa kama Vekesheni vile.
Ilikuwa safari ya Nakatuba,
Dada mmoja anajiandaa kupata Mwenza.........
Tukasema tukampe Kampani
Hapa tunakaribia kijijini, tukaambizana maji yetu haya ya kizungu kizungu hayafai huko vijijini, hivyo tupige mafunda mawili chap chap tuanze.
Chupa itawafaa kwa kuchukulia mafuta ya Taa.
Ni pale kilima cha Manana.
Enzi tunakua, thubutu kama kulikuwa na mtu ana ubavu wa kufika hapa na kupumzika vile na kupiga picha.
Kuanzia shoto Blogger mwenyewe, Penina na Lulu

No comments:

Post a Comment