Miaka mingi iliyopita niliposali hapa kwa mara ya mwisho nililiona kanisa hili kuwa kubwa. Lakini sivyo ilivyo leo. Haliwezi tena kutosheleza na hivyo tunalazimika kufanya ibada nje ya kanisa.
Kanisa lina mpango mzuri ambao naamini Mungu ataubariki wa kujenga kanisa lingine kwa gharama ya Tshs Million Mia mbili.
No comments:
Post a Comment