Total Pageviews

Tuesday, November 7, 2017

SIMULIZI YA RIZIKI

Riziki yetu ya kila siku hutoka kwa Mungu.
Simulizi kuhusu Riziki zasema kwamba Mwenyezi Mungu hutuma Malaika wake kila siku ili kuwafikishia Riziki zao Wanadamu wote.
Ili kupata Riziki yako ya siku yakupasa kuwepo pahala ulipopangiwa kupokelea Riziki yako ya siku hiyo kwa muda muafaka uliopangiwa pia.
Malaika wasipokukuta pahala ulipopangiwa katika muda huo, huirejesha Riziki hiyo kwa Mwenyezi Mungu.
Wengi wetu tumekuwa tunakosa Riziki kwa kutokuwepo pahala sahihi katika muda muafaka.
Ndiyo maana Binadamu, kila kukicha twakimbizana huku na kule. Yote hayo ni katika kubahatisha, Riziki yangu ya leo nitaipokelea wapi na wakati gani?

Saturday, November 4, 2017

KONGWA DUST RAIN

Mvua ya Vumbi maarufu Kongwa Rain Dust. Picha kutoka kwa mdau wa Blog yetu Dodoma, Ni maajabu ya Dodoma, 

SABATO YA VIJANA


Kutoka kwa wadau wa Blog Dodoma,
Tulikuwa na sabato njema na nzuri sana leo, sabato maalum ya watoto, baadhi leo wakitimishwa na kuhama madarasa, shalom akiwa mmoja wa wahitimu

Monday, October 30, 2017

PAULO MJASIRIAMALI

Nakatuba, Jumatatu.
Mjasiriamali Bw Paulo baada ya ndoto za Uinjinia kuyeyuka.

Friday, October 27, 2017

MVUA ZA KWANZA......


Falsafa ya dhati ya Baba wa Taifa, akituhimiza Kilimo kama Uti wa Mgongo.
Naam, mvua za vuli zimeanza Nakatuba,
Ni mwanzo wa msimu wa Kilimo kwa kuwa Mvua za kwanza ni za kupandia.
Nakatuba kwetu.

Thursday, October 26, 2017

NAKATUBA KWETU

Mdau wetu Mzee wa Makamuzi yuko Nakatuba,
Na amekuwa akituhabarisha yanayojiri pande hizo.
We Miss Fresh Sato very much.

Sunday, October 22, 2017

MWANAMME KAZI

Kinyerezi kwetu leo,
“Kila mtu anapaswa kula na kunywa na kufurahia kazi yake yote ngumu. Ni zawadi kutoka kwa Mungu.”