Total Pageviews

Saturday, September 19, 2015

WHAT A BLESSED SABATH !!

Ubatizo wa Rebeca Kulwa Malembo. Sabato, Leo Mtwara

1 Peter 3:21 

And this water symbolizes baptism that now saves you also – not the removal of dirt from the body but the pledge of a clear conscience toward God. It saves you by the resurrection of Jesus Christ.

Friday, September 18, 2015

32 YEARS IN THE MTWARA, AND STILL.................

Pamoja na kwamba Mzee wa Halmashauri  kwa sasa ni Mwanasheria anaetambuliwa kisheria na serikali, ametokea mbali. Mwanzoni mwa mwaka 1983 alipelekwa kuanza kazi Mtwara kama Land Surveyor. Anakumbuka kuwa baada ya kuhitimu pale Chuo cha Ardhi yeye pamoja na wenzie watatu walipangiwa kwenda kufanya kazi kusini.
Ndani ya kipindi kifupi wenzie wote walikuwa wameondoka Mtwara kila mmoja kwa sababu na mipango yake, lakini Mzee wa Halmashauri ameendelea kubakia kule hadi leo..........
Takribani miaka 32.
Majuzi ame "share" nasi picha za makazi mbalimbali aliyowahi kuishi............
Tuungane nae.
 Chumba chake cha kwanza kupanga ilikuwa hapa kwa Mzee Omari Bakari(pichani) tarehe 18 May 1983. Eneo la Chikongola, Zambia Road
Chumba hiki cha uwani kingalipo hadi leo.

October 1983 hadi 1991, Makazi yalikuwa chumba hiki cha uani. Nyumba sasa ina mmiliki mpya.
Kuna historia kubwa hapa, kwani hapa ndipo alipozaliwa Lulu na Neema.
Wageni wa kukumbukwa hapa ni Beria (1984) na Msibha Mjengwa.
Hii nyumba kama inavyoonekana maeneo ya Raha Leo, Mtaa wa Uhuru.

1991 hadi 1995, Makazi yalihamia maeneo ya Kiyangu, Nyumba ya aliyepata kuwa Mbunge Mh Zalari (Pichani na mkewe).
Na hapa ndipo alipozaliwa Rebeca Nyamweya.
Shukurani kwa Manispaa ya Mtwara Mikindani iliyokuwa ikilipia kodi yote ya nyumba hii nzima.
 Makazi binafsi, banda la nyuma kuanzia 1995
Nyumba kubwa1998, Maeneo ya Ligula "A" low density plots. Ni karibu na Hospital ya mkoa na Police lines.
 FOCONA Head Quarter Mitaa ya Shangani.


Kati ya July 1983 hadi Mwishoni mwa mwaka huo Makazi yalikuwa Mitaa ya Chikongola msikitini kwenye nyumba hii. Ni hapa alipofikia pia Blogger wakati wa kumaliza Mafunzo ya mwaka mmoja ya Jeshi la Kujenga Taifa, kambi ya Nachingwea (Oparesheni Safisha).
Lakini pia akipita mara kwa mara Marehemu Mwl Lawi Mareka Matekele wakati akisoma chuo cha Ualimu Nachingwea.

Thursday, September 17, 2015

SUMMITTING MOUNT KILIMANJARO

 Chaeli Mycroft completed a history-making climb of Kilimanjaro.
The morning air was bitter cold, the kind of chill that bites into your bones, and Chaeli Mycroft hadn’t slept a bit. She was exhausted. Her mind was spinning and she was nearly ready to give up on this challenge. It was a battle to convince herself to move forward.
People tell you that summiting Mount Kilimanjaro in Tanzania will be one of the hardest days of your life. For Mycroft, it was even trickier than for the average person. Last week, the 21-year-old became the world’s first female quadriplegic to summit Mount Kilimanjaro — the highest freestanding mountain in the world.
“Emotionally it is really tiring to find the strength to keep going towards the summit. There are many dark moments on the mountain,” Mycroft, who has cerebral palsy, recalled. “But when we reached Uhuru Peak there was such euphoria mixed with other emotions.”
 A training climb.
 This trip was nearly three years in the making and followed an intense training and preparation regimen. 
Alongside a team of seven committed climbers from South Africa, Mycroft began climbing on Aug. 29.
The route to the summit
At the 3,700- and 4,750-meter marks, two climbers had to be sent back down the mountain due to altitude sickness. The rest of the team plowed on. 
The summit took six days to complete. Her goal was to raise funds for her two nonprofit organizations, the Chaeli Campaign’s Inclusive Education Programme and the Chaeli Cottage Inclusive Preschool.
Along with her wheelchair, Mycroft did all of the hikes any climber would do to prepare to summit. She just did them with her team.
“The main thing for us was figuring out how to work as a team and the team dynamic,” she explained. “That way we were more sure of getting to the top together as a team.”
The whole team together at the peak
Climbing Kilimanjaro is a challenge for anyone of any age in any physical condition. Mycroft may have had more to overcome than the average climber, but she had heart and determination enough for her entire team.
“I had thought of every plan,” she said about completing her climb. “But once we got going, you just have to let everything go and focus on one day at a time.”

Source: