Maskini shule yangu Namalebe
Shule hii tunaambiwa ni shule kongwe Mwibara, ikianzishwa mnamo 1948
Shule hii tunaambiwa ni shule kongwe Mwibara, ikianzishwa mnamo 1948

Vacation yangu ikanifikisha hapa baada ya miaka takribani 36 kupita toka nilivyoondoka shuleni hapa
Walimu Martin na Sylivester walipata kuishi katika nyumba hii

Serikali imeitelekeza, na walimu wameikimbia

Wakati naanza shule, hii ilikuwa nyumba ya mwalimu mkuu, Mr Marko Riganya

Hili lilikuwa darasa maarufu la LY





Wakati huo hakuna aliyethubutu kuingia kilimani hapo, lakini ukiniuliza kwa nini, sielewi hadi leo.
kuna madarasa mapya siku hizi

Mumewe Mwl Damali mtaalamu wa Hesabu kwa LY
Nyumba hii wakati naanza Class One akikaa Mwl Faustine Makaranga Ndimila.
Baba yao na Godfrey, Albert na Felista katika kukumbuka wachache.......
Ushiriki wa wanafunzi katika ujenzi wa shule yao, kumbukumbu hili tofali lilipigwa na Marehemu Baraka Magambo aka Charles Mtaju
Hili la "Chif" Rusasa, akikaa kwa mzee Matekere
Upandaji miti bado unaendelezwa , inapendeza sana
Na angalau baadhi ya madarasa sasa yana madawati
Kuna nyongeza ya madarasa mapya, yenye mvuto mpya
labda ndiyo maana yale ya kizamani hawana haja nayo tena hata kwa kuyakarabati

Baba yao na Godfrey, Albert na Felista katika kukumbuka wachache.......




labda ndiyo maana yale ya kizamani hawana haja nayo tena hata kwa kuyakarabati
Namalebe na Nakatuba kwa ujumla zimekwisha sana. Pole S/M Namalebe
ReplyDelete