Total Pageviews

Friday, June 3, 2011

SIKU KINYEREZI ILIPOPATA MAAFA 21.05.2011

Gari lilivyo baada ya ajali

Tarehe 21.05.2011



Bila kutarajia ikaja kuwa siku itakayobakia kwenye kumbukumbu za wana Kinyerezi kwa muda mrefu.


Siku hiyo majira ya mchana, Gari ya jirani yangu Miraji Abdallah "Mwamba" ikiendeshwa na mwanae Salum. akitokea kuchota maji Majumba sita akiwa kabeba pia vijana wenzie waliokuwa wakitokea mpirani ilipata ajali na kusababisha vifo vya vijana wanane papo hapo na majeruhi wengi.


eneo lenyewe ni kati ya Daraja la Kinyerezi na Pub ya kilimani, maarafu Njia panda ya Zowo Camphali ilikuwa ya kutisha eneo lenyewe la ajaliKishimo hiki, kilichokuwa chanzo cha ajali katika kukikwepa...Kesho yake 22.05.2011 nikapata nafasi ya kushiriki mazishi ya vijana wanne kati ya wanane waliofariki, hali ilikuwa ya majonzi makubwa, na watu wengi wa rika mbali mbali wa Kinyerezi walihudhuria mazishi hayo.


vijana ndiyo kwanza wakichipua na matumaini mapya, lakini nyota zikazima ghafla




Sheikh wetu mkuu alikuwepo kuwafariji wafiwaMwenyekiti wa mtaa Mheshimiwa KafunyaMheshimiwa bankoleWazee wetu, NurdinWanaharakati, Nyangaliro "Osama" Hakika ilikuwa siku ya majonzi makubwa..........


ambayo itachukua muda kusahulika miongoni mwa Wana kinyerezi








Bwana alitoa.............................


Bwana ametwaa..........................


Jina lake lihimidiwe.


Walale pema vijana wetu.

Monday, May 30, 2011

PHOTOS FROM TANZANIA

Mbundya island Beaches
Kilimanjaro in Clouds, view from air

Kitonga Hills


Mbundya Island

Games Parks View
Sea
Indian Ocean Beaches


Zanzibar

Sea Ferries

Kilimanjaro view from Moshi Town
Vegetation on Mount Kilimanjaro
Baobaob Trees
Man made Kilimanjaro, TIC Ubungo
Songea
Lukumbulu

View of ngorongoro Crater