Total Pageviews
Monday, June 6, 2011
Friday, June 3, 2011
SIKU KINYEREZI ILIPOPATA MAAFA 21.05.2011
Bila kutarajia ikaja kuwa siku itakayobakia kwenye kumbukumbu za wana Kinyerezi kwa muda mrefu.
Siku hiyo majira ya mchana, Gari ya jirani yangu Miraji Abdallah "Mwamba" ikiendeshwa na mwanae Salum. akitokea kuchota maji Majumba sita akiwa kabeba pia vijana wenzie waliokuwa wakitokea mpirani ilipata ajali na kusababisha vifo vya vijana wanane papo hapo na majeruhi wengi.
vijana ndiyo kwanza wakichipua na matumaini mapya, lakini nyota zikazima ghafla
Sheikh wetu mkuu alikuwepo kuwafariji wafiwa




Mwenyekiti wa mtaa Mheshimiwa Kafunya
Mheshimiwa bankole



Wazee wetu, Nurdin
Wanaharakati, Nyangaliro "Osama"
Hakika ilikuwa siku ya majonzi makubwa..........
ambayo itachukua muda kusahulika miongoni mwa Wana kinyerezi
Monday, May 30, 2011
PHOTOS FROM TANZANIA
Mbundya island Beaches
Kilimanjaro in Clouds, view from air
Kitonga Hills

Mbundya Island
Games Parks View
Sea
Indian Ocean Beaches

Zanzibar
Sea Ferries
Kilimanjaro view from Moshi Town
Vegetation on Mount Kilimanjaro
Baobaob Trees
Man made Kilimanjaro, TIC Ubungo
Songea
Lukumbulu
View of ngorongoro Crater
Subscribe to:
Comments (Atom)
