cheers
Total Pageviews
Tuesday, August 30, 2011
PICHA TOKA KWA MDAU WA MTWARA
Picha za wageni wetu toka sister town ya Redditch, UK, waliotutembelea August 2011 Mtwara, mimi ni katibu wa asasi inayoshughulika na mahusiano hayo iitwayo Mtwara One World Link, kwa kifupi MOWL.
cheers
cheers
Wednesday, August 17, 2011
UNAWEZA KUFUNGA TAI ???
Mimi navaa tai mara kwa mara,
inaelekea tai inaongeza kidogo hadhi ya vazi kama imevaliwa sawasawa kulingana na kanuni zake.
Lakini kwa nini wengi hawataki.hawafungi tai?
Siku hiyo wengi iliwakumbusha mbali.
Kuna anaekumbuka mara ngapi amekwisha vaa tai.
Alikuweko ambae tai yake huwa haifunguliwi hata wakati wa kufua
kulikuwa na hoja nyingi kadha wa kadha
za kuchekesha na kufurahisha kuhusu ufungaji wa tai...
Kumbe tatizo la wengi kutokuvaa tai ni namna ya kuifunga.
Kwa hali hiyo wanaoweza kufunga walitoa "DEMO" siku hiyo
USAFIRI BADO ADHA KWA WANAFUNZI DAR
MGENI TOKA NAKATUBA
Wednesday, August 10, 2011
LEO BONGO TAMBARARE
Tuesday, August 9, 2011
Friday, August 5, 2011
Subscribe to:
Comments (Atom)





