Si mwingine ni Engineer Super Mathias Chisute Mteki.
Sasa mjasiriamali na mfanyabiashara katika bidhaa za umeme kule Bunda
Kutoka huko, mtoto wa Mama akanikumbuka kwamba nililia sana peke yangu wakati huo
akapata nafasi ya kunipoza angalau moja moto........ na moja baridi....
No comments:
Post a Comment